Nimeumbwa jaman cjisifii c sura nzuri wala shepu la hasha bali mwenyezi mungu kanipa roho hasa ya kibinadamu,roho ya kujali wengine kuliko mwenyewe,roho ya kukubali matokeo kwa kuogopa kuumiza wengine,roho safi ninayo cjicfii.Najua unajiuliza kwanin nasema haya leo hii lkn jibu ni kwamba nimejichunguza nimejikubali kama ni majaribu nimepata lkn mpaka sasa nilipo nimeamin majaribu hayo yananiogopa.
Me namshukuru mungu kwa kunipa roho hii na zaidi naomba aniongezee moyo wa subira,upendo,uvumilivu kama nilionao sasa,kwani jina na roho yangu ni sawa anaebisha huyo mbishi tu na atabaki kuwa mbishi!
Huyu c mwingine bali ni SALAMA SALUM mnyamwezi mchanganyiko na mnyiramba toka mkoani singida,Hayo hasa ndio makabila yangu na shukrani kwa wazazi wangu kwani ndo walinilea mpaka nikafika hapa.Busara zao hekima zao na uwezo wao wa kunilea ndo umenifanya niwe hivi!Nawapongeza kwani kwangu nyie ni wazazi bora zaidi im proud of u father and mother,ckujua kama mliyokua mkinifundisha yatawafurahisha walimwegu sasa!Mlinilea kiafrika na sasa nakubalika!
Afande Salum kokote uliko ujue mm mwanao najivunia sana ww kuwa baba yangu bila kusahau mama yao Rehema au rey kama tunavyopenda kukuita ww kweli ni mama bora sana tena sana,mungu hakukosea kukufanya uwe mama yangu.Ww ulijituma sana ili sisi tuwe hapa,ulijitolea kwa hali na mali wanao tukue.Natamani nikulipe wema wako lkn uwezo mdogo mama!
Sijawasahau ndugu zang wa damu nyie ni wangu wa pekee,nawapenda sana nyie ni familia yangu cku zote nikidondoka nadondoka nyie nikisimama nasimama na nyie nitawajali na kuwa heshimu milele.Upendo wangu kwenu ni zaidi ya upendo naamin na nyie mnanipenda sawa na mm ninavyowapenda,c wengine ni ASHA SALUM,PILI SALUM na kaka wa pekee MUSTAPHA SALUM.I LUV U JAMAN!
Nakupenda sana nakujali na nakuheshimu milele ww 2,ni kipenz changu ni future yangu,ww ni ndoto zangu cku zote hata kama ctokaa na ww nyumba moja lkn utabak moyon mwangu,kukutoa moyon cwez hata uniudh vp,ni ww ulieniteka na cjui njia ya kutoroka,nakupenda sana na amin hata kama kuna vikwazo kiasi gani lkn iko cku kwa uwezo wa mungu tutakua pamoja.NI WW TU MPENZ WANGU!
MWISHO NI Ww unaeosoma sasa hivi NAKUPENDA SANA!mungu akupe moyo wa kufungua hii blog kila cku.SHUKRAN KWA FOLLOWERS WANGU STEVE NA BARAKA NAWAPENDA SANA!BILA KUSAHAU MARAFIKI ZANGU LEAH,ZAINABU,FIDELIS,RITHA NAWAPENDA WOTE JAMAN1
SPECIAL THANX KWA RAMA MSANGI KWA KUNIWEKA HAPA NILIPO SASA,HESHIMA YAKO MKUU!TCHAO!MWAAAAAAAH!
NAUGHTY GIRL!:
SIKU YA TAREHE 16/02/2011 HAITOSAHAULIKA KWA WAKAZI WA GONGOLAMBOTO NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA.MAISHA YA WATANZANIA WENZETU HAWA YALIGEUKA GHAFLA BADALA YA FURAHA VILISIKIKA VILIO KILA KONA,WATOTO,WAKINAMAMA,VIJANA NA WANAUME WAKIKIMBIA HOVYO BILA KUJUA WAPI WANAKWENDA.JAMANI HALI ILIKUA INATISHA MNO.HALI HII IMESABABISHA VIFO VYA WATU WANAOKADIRIWA 18 NA MAJERUHI ZAIDI YA MIA.
NINAWAPA POLE WAATHIRIKA WOTEWA MABOMU HAYA.NA PIA NINGEPENDA KUWAOMBA WATANZANIA WOTE TUJITOLEE KUWASAIDIA WATANZANIA WENZETU KWA HALI NA MALI.SEREKALI HAIWEZI INABIDI TUISUPPORT ILI KUWASAIDIA NDUGU ZETU.
MWISHO NAMOMBA MUNGU AENDELEE KUTUSAIDIA WATANZANIA TUWE NA AMANI MILELE.
guys naipendasana hii nyimbo jaman na la zaidi nampenda sana huyu rahhana jaman!yuko juu no doubt!check hii video lzma utaenjoy!
kwawapenda malavidavi celin dion anakwambia am alive kama vipi icheki
Imeandikwa na SALAMA SALUM at 4:20 AMMPENZI ANAKUUMIZA KILA CKU?
Mapenz ni raha jaman tena raha sana pale tu unapompata mtu anaekupenda kwa dhati,kukuheshimu na kukujali,lkn mapenzi haya pia yanaweza yakawa machungu zaid ya shubiri pale tu unapompata mtu mbabaishaji asiyejua mapenzi ni nini,anaejali nafsi yake bila kujali kua kuna mtu anamuumiza!
Wapo watu wanaishi maisha ya raha sana ktka ulimwengu huu wa mapenzi.Pia wapo wanaumizwa sana na kulizwa sana ktka maisha yao ya mapenzi,kuna kipindi inafika wanayachukia kabisa mapenzi wakaamin wana bahati mbaya na kufikia uamuzi wa kutopenda tena.Lkn pia wapo watu wanaoumizwa sana ,wanafanyiwa kero za kila namna lkn mioyo yao inawambia wawe wavumilivu yatakwisha na huku wakiamin hawawezi ishi bila wenzi wao(c kweli).
Mada hii itakusaidia jinsi ya kuepukana na maamivu yasiyo ya lazima ktka maisha yako-:
1.MWAMBIE UKWELI JUU YA TABIA YAKE!
Ni busara ukikaa chini na mwenza wako na ukamwambia kila kinachokukwaza na jinsi tabia zake zinavyokuumiza lkna jitahid usimwambie kwa ukal na kwa kukurupuka hovyo kwan badala ya kujenga waweza bomoa kabisa!
2.MTAZAME KAMA ANAWEZA BADILI TABIA YAKE!
Jaribu kumchunguza kama anaweza badilika au la!kuna watu huwa wanaact kubadilika kwa muda wa wiki 2 tu kisha tabia zao zikarud palepale,m2 kama huyu hajabadilika ila anatania 2 na c kwamba hawez badilika la hasha anawez sana ila ni makusud 2.Na wapo mabingwa wa sorry bby kila wakikosea wanaomba samahan yan as if wanafanya makosa kwa kujua neno msamaha lipo,lkn wakae wakijua japo wanasamehewa usoni mioyon wenza wao huwachukulia kama watu wenye dharau!
3.UNAWEZA KUENDELEA NAE?
Kuna watu wanatabia zinakera lkn ni za kawaida,mtu kama huyu ukiwa nae mvumilie,Lkn kuna watu wanatabia mbaya na za ajabu kupindukia na hawabadiliki, jaman ucjidanganye kumvumilia mtu kama huyu,usifate mawazo ya CWEZ ISHI BILA YEYE,(kwan ulizaliwa nae)jiangilie kijana usipelekwe na roho ya uwoga unaweza kukutwa na mwisho mabaya zaidi ya unavyofikiri.
4.TAFUTA USHAURI KISHA FANYA MAAMUZI
Jitahidi uombe ushauri kwa watu unaowaamini na wanaoweza kukupa ushauri mzuri zaidi na kisha fanya uamuzi kama utabaki nae au kuachana nae!Najua ni ngumu kumwacha mtu anaempenda lkn pia wabidi ukubali kua hutakiwi kua na mtu asiekupenda kwani ni sawa na kukubali matatizo ktka maisha yako!Sahau yote tafuta uhuru wako,kubali kuwa ulikosea kuachagua na amini wako anakuja kwani mungu hawezi kukuacha ww ulie kila cku!
Don't think I'm either silent or busy,but I was in prayer asking God to Register your name&mine in his list 2011.HAPPY NEW YEAR GUYS!
Pia napenda washukuru watanzania wote kwa kuwa pamoja mwaka 2010 namuomba mwenyezi mungu awape moyo huo ktk mwaka 2011.Pamoja na watanzania wote shukrani zangu za dhati ziende kwa-;
my one and only-:RAMA MSANGI,STEVEN MRUMA,FIDELIS AND MA BEST FRIEND RITHA RICHARD.Nawashukuru kwa ushauri na upendo walionionesha nami nasema I LUV U ALL!
THANX GOD NAKUSHUKURU SANA MUNGU WANGU KWA KUNIPA HUYU M2!INSHORT WW NI FURAHA YANGU WW NI FARAJA YANGU WW NI KILA NINACHOKIHITAJI!UMEBADILISHA NJIA ZANGU,UMEKUA MWANGA GIZAN!NAKUPENDA SANA NA NITAZID KUKUPENDA MPAKA MILELE!
Habari dada salma,mm ni msichana mwenye umri wa miaka 24,nina uhusiano na mwanaume mwenye kunizid umri kama miaka 6 hivi,NAMPENDA SANA!Lakin cha kushangaza ni jinsi kaka huyu, alivyo kwa kumuangalia ana mvuto lkn tabia zake hazieleweki hata kidogo,.Nimejarib sana kumbadilisha lkn wapi,huyu mwanaume hajawah kutoka out na mm hata cku moja na kila ukimpigia cmu anakwambia yuko sehem na washikaj,huwa hapig cmu mpaka nimbip na nikimlalamikia ananiambia nisimsumbue!jaman cjui nifanye nin nataman kumwacha lkn bado nampenda sana nisaidien!
SALAMA SAYS-;Pole sana wangu kwa kumpenda m2 kama huyo,ninachokushauri mm ni kwamba ujarib kumsahau huyo kaka kwani anaonekana hana mpango na ww na anakufanyia hivyo ili ukate tamaa tu!inavyoonesha jamaa anaona aibu kukwambia muachane kwahiyo dada anza ww,usiendelee kuumia,muombe mungu akupe mwingine huyo siyo riziki!
hi!kwa wale wanaotengeneza blog hii itawasaidia sawa!
aunt ezekiel |
monalisa |
steven kanumba |
aunt,irene,nikita,jackline wolper and wastara |
Labels:photos,vacations salama
saikolojia inaweza ikabadili muelekeo wa mawazo yako kimaisha yakawa bora
Imeandikwa na SALAMA SALUM at 4:26 AMsteve one
@ salama salum
uhuru wa tanganyika 1961 una maana gani sasa kwetu au ni story za mtaa?
Imeandikwa na SALAMA SALUM at 4:13 AMhi!kila mtu kuwa anafanya kitu kwa minajili hata suala la uhuru wetu kila mmoja ana lake ambalo ndilo anakuwa anawaza mimi mpaka sasa najua uhuru uliniweka katika maisha ya kuwa huru katika mambo yangu binafsi bila kuongozwa kama mfungwa pia maendeleo yangu yanasimama kama yangu na taifa kwakua niko huru ufanya huku nikitumia jitihada zangu binafsi kufika hapa nilipo na kama kunamsaada wa kiuhuru upo kwakua nipo huru na si vinginevyo
Siaoni jambo la kujivunia kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakishabikia, kiasi cha kutumia gharama kubwa katika kuandaa matoleo mbalimbali yenye kusifia mambo yaliyofanywa na serikali.
Sitaki kushabikia maendeleo yanayosemwa na serikali kuwa yamefanyika ambayo naamini ni wajibu wa serikali kuyafanya, na wala si hisani au msaada kama wananchi wanavyomanishwa na viongozi. sisemi mengi ila nililo nalo mimi sila kawida sana japo ukiangalia kimtazamo huoni kama kuna jambo
imendikwa na steven mruma
www.stevenmruma.blogspot.com
badala ya salama salum
Habari wana wa kiungo mahususi!najua watanzania wote sasa tuko macho yetu kwenye baraza jipya la mawaziri lililotangazwa na raisi wetu leo,JAMANI BARAZA LIKO SAFI,TENA HASWAA HEBU VUTA PICHA SITTA,MAKONGORO,NA WENGINEYO WOTEEEE NDANI!YAN WATANZANIA WOTE TUNA HOPE MAMBO YATAKUA MAZURI TUU!
LAKIN JE WENZANGU MNALIONAJE?TOA MAONI KWENYE BLOG HII/FACEBOOK PAGE YANGU/salamasalum89@gmail.com kisha mm nitapublish hapa hapa kwenye blog yenu ya ukweli!
Blogi hii iko katika ukarabati mkubwa hivi sasa, tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote mtakaoupata katika kipindi hiki cha maboresho ya maskani hii. Nia ni kuhakikisha kuwa wasomaji mnapata kilicho bora kabisa.
Asanteni kwa ushirikiano ambao mmekuwa mkinipa hadi sasa na niwaombe radhi tena kwa usumbufu mtakaoupata katika wakati huu wa maboresho